Nimekuwa mhanga kwenye hayo mazingira, baada ya kufanya 'wiring' na umeme kuungwa kwenye jengo, ili ujenzi wa kumalizia (finishing) uende vizuri; wakatokea wahuni wakakata nondo za dirisha na kuingia ndani na kuanza kufumua nyaya zote, pamoja na vifaa vyote vya umeme vilivyokuwepo.
Ile vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.