mfungo wa ramadhan

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwachiluwi

    Nilichogundua watu hawafungi

    Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
  2. musicarlito

    Kufunga chakula inaweza kuwa mwanzo mzuri wa kubadili mwenendo wako mbaya

    Wasalaam Wakuu mwezi huu ni wa heri kweli Madhehebu makuu mawili kwa asilimia kubwa wako katika mfungo,japo kila moja lina namna yake na makusudi yake,lakini lau wote wanalenga kuwa na mahusiano mazuri na Mungu. Mungu ni mwanga...tunavyozidi kumkaribia au kuonesha juhudi za...
  3. Zogoo da khama

    Mfungo wa Ramadhan na Kwaresma

    Poleni kwa mfungo wa ramadhan na kwaresma, safari hii swaumu zimeongozana, sasa ndg zangu nina swali naomba tulijadili kwa mapana yake: Ni hivi kila ifikapo mfungo wa ramadhan taasisi mbalimbali za umma na binafsi, mabenki, watu binafsi huandaa futari au kufutulisha makundi mbalimbali kwenye...
  4. Alvin_255

    Kwaresma Njema na Ramadhan Kareem: Tutumie funga zetu kuliombea taifa dhidi ya janga la utekaji na maovu Mengine

    Katika kipindi hiki muhimu cha Kwaresma kwa Wakristo na Ramadhan kwa Waislam, tunapoadhimisha nyakati hizi takatifu za toba, tafakuri, na kujitakasa, ni vema tukatafakari nafasi yetu kama jamii inayotafuta haki, amani, na utu. Wakati mamilioni ya waumini wakijinyima na kujitenga na starehe za...
  5. Z

    Watanzania wenzangu nawaomba tutumie vyema mfungo wa Ramadhan na Kwaresma, tuombe Mungu atuepushe na ukame na njaa

    Kila mmoja anashuhudia jua lilivyo kali, mvua zimechelewa kwa mikoa ya pwani, maeneo mengine ya nchi mvua ni chache, jua kali mazao yanakauka. Kuna kila dalili ya upungufu wa chakula/njaa. Tunawaomba viongozi wetu wa Makanisa na Misikiti kuonga sala za toba.
  6. BabaMorgan

    Wenzetu wenye uelewa ipi mantiki ya kufunga kidini wakristo na Waislam?

    Kwanza naamini katika uwepo wa mungu na Kila jumapili nashiriki misa takatifu ya pili katika kanisa katoriki la karibu yangu. Pengine katika ukuaji wangu yawezekana nilikosa elimu juu ya ufungaji na faida zake. better late than never naomba elimu juu ya ufungaji na faida zake.
  7. Erythrocyte

    Ewe Mwananchi jihadhari na Futari za Kampeni ili kuepuka laana ya Allah

    Bismillah Rahman Raheem. Mwaka wa Uchaguzi umefika na Mwezi wa Ramadhan ushawadia, leo tuko Chungu cha pili. Sasa kama mjuavyo kwa miaka ya sasa kila jambo ni fursa, mtaalikwa kila mahali na kwa watu hata wasio Waislam ili mradi wawavuteni ili muwachague. Kuweni Makini na Allah Subhannah...
  8. musicarlito

    Hongera ndugu zetu Waislamu. Wakristo tujifunze kwa hili kutoka kwa ndugu zetu

    Wasalaam Ndugu zetu waislamu wameanza mwezi mtukufu tangu tar 2...wanatimiza moja kati ya nguzo muhimu katika imani yao Chanda chema huvishwa Pete...tangu wenzetu wameanza mwezi mtukufu,mwamko unauona ni mkubwa sana,watu wa kada mbalimbali,wakubwa kwa watoto,hata wale tunaowaweka kwenye...
  9. L

    Soma hapa ujumbe mzito wa Rais Samia kwa Waislamu wote Nchini

    Ndugu zangu Watanzania, Taifa letu linaendelea kuwa lenye baraka na Neema kwa sababu linaongozwa na kiongozi Mwenye hofu ya Mungu, kiongozi Mcha Mungu,kiongozi mnyenyekevu, kiongozi mwenye kuishi Maisha yenye kumpendeza Mungu, kiongozi mwenye mikono safi na matendo safi ,kinywa safi na matendo...
  10. sergio 5

    Waislamu dhidi ya Wakristu katika kufunga

    Kufunga kidini ni kunyongomyesha mwili Ili kukua na kupata nguvu kiroho ila hili la kufunga WAKRISTO wa madhehebu ya kokole wapo vizuri mno kuliko waislam WAKRISTO hao Note: wasio Romans hufunga siku kavu bila kula na bila kuchange ratiba ya kula WAISLAM kwakweli huwa wana change ratiba ya...
  11. G

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba : Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo...
  12. R

    Wanaoiba kura tukiwa katikati ya mfungo wa Ramadhan na Kwaresma ni akina nani?

    Salaam, Shalom!! DINI kubwa mbili duniani, zimejikuta zikiwa katika mfungo Kwa pamoja, waislamu na wakatoliki, Mtwara katika uchaguzi wa madiwani, limetokea tukio la kukamatwa kura fake, Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini? Au wana dini ila Hawajafunga? Nauliza tena...
  13. African Geek

    Hivi hawa wanaokula kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhan na Kwaresma ni hawana dini au ndo wanajiendekeza?

    Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa. Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja...
Back
Top Bottom