mganga konki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    Mzee wa Upako yuko sahihi, ukiishi Dar es Salaam ukafa masikini wewe ni mjinga

    Wote mnaoishi Dar es salaam huku mnalia maisha magumu ni mafala,aliwahi kusema Anton Lusekelo mzse wa upako Ukipita barabarani ni foleni za magari lakini wewe huna hata pikipiki we ni Majumba yote jiji zima lakini huna hata kiwanja wewe ni ...... Jiji lina watu milioni sita,ukibuni product...
  2. Dignah

    Natafuta mganga konki wa kurejesha Mahusiano

    Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.
  3. Maya Angelou

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha. Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa...
Back
Top Bottom