Rais Samia amesema suluhu ya Tatizo la umeme itapatikana April 2024 baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuzalisha umeme wa Megawatt.470-500
Mambo mazuri yanakuja tuwe na subira
---
Rais Samia Suluhu Hassan amesema tatizo la upungufu wa umeme litakwenda kupata suluhu yake mwezi April mwaka huu...
bwawa la nyerere
matatizo ya umeme kuishamgaokuisha
mradi bwawa la nyerere
rais samia
suluhu ya umeme
tanesco
ujenzi bwawa la nyerere
umeme tanzania
uzalishaji umeme
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa.
Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema...
bwawa la nyerere
doto biteko
jnhpp
kuzalisha umeme
mgaokuishamgao kumalizika
mradi bwawa la nyerere
shida ya umeme kuisha
tanesco
ujenzi bwawa la nyerere
umeme tanzania