mgao wa umeme kahama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO TANESCO Kahama tuambieni kama kuna mgao wa umeme tuelewe

    Kahama Mjini kuna laini moja ya umeme ambayo imeunganisha maeneo ya Nyihogo, Mhungura, Dodoma hadi Shunu. Miezi miwili au mitatu mfululizo pamekuwa na changamoto ya ukataji wa umeme pasipo taarifa yoyote na shida ni kwamba umeme unakatwa asubuhi na kurudishwa kati ya saa 12 jion au saa moja na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…