mgawo wa umeme tanga mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Tanesco Tanga mjini mnakata umeme wakati wa mpira tu kwanini? Makorora, Msambweni, Mikanjuni, Duga

    Leo mechi ya Yanga mmeamua kutukatia umeme tena muda uleule wa mpira kuanza, mmehongwa na wenye kumbi za kuonyesha mipira na starehe mighahawa mikubwa? ili watu waende huko. Uzi wa tatu huu kuandika kuhusu tuhuma zenu. Waathirika Makorora, Msambweni, Mikanjuni, Duga, Magomeni.
Back
Top Bottom