mgogoro congo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Watu 11 wauawa katika mlipuko kwenye mkutano wa M23

    Watu 11 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa Alhamisi wakati wa mlipuko katika mji wa mashariki mwa Congo wa Bukavu uliotokea kwenye mkutano wa hadhara ulioongozwa na viongozi wa kundi la M23, ambalo lilichukua udhibiti wa mji huo mapema mwezi huu. Viongozi wa waasi wameituhumu Serikali ya...
  2. T

    Kabila: Uongozi mbaya wa Rais Tshisekedi umezididsha mzozo

    Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix Tshisekedi umechangia pakubwa kuzidisha mzozo mashariki mwa nchi hiyo. Kabila amesema hayo katika makala yake kwenye gazeti la Afrika Kusini la Sunday Times na kuongeza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…