mgogoro drc kongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Baada ya Kutoka mkutanoni Dar es salaam Kagame atoa Tamko na kusema " Hakuna wa Kutupangia"

    Baada ya Mkutano wa usuluhishi kukamilika Dar es salaam Rais Kagame wa Rwanda amesema " hakuna wa Kutupangia" linapokuja swala la ulinzi na ustawi wa Rwanda Watoto wa Kagame Wote ni Wanajeshi Credit: Citizen TV
  2. Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Muungano wa makundi ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza usitishaji mapigano wa kibinadamu kuanzia Jumanne. Katika taarifa, kundi hilo - linalojumuisha waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda - lilitaja "sababu za kibinadamu" za kusitisha mapigano, baada ya kuteka...
  3. Ni wakati muafaka sasa kwa Rwanda kuwekewa vikwazo ili kumaliza vita ya mashariki ya DRC

    Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC. Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu waasi wa 23. Kwa sasa waasi wa 23 inasemekana wamefanikiwa au wanaelekea kuchukua mji muhimu wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…