mgogoro ukraine urusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Ukraine: Wanaume waliokwepa kujiunga na programu ya Jeshi wa anza kukamatwa

    Wanaume waliokwepa kujiunga na programu ya Jeshi na kwenda klabu kula bata huko Ukraine wamekutana nacho baada ya Jeshi la Nchi hiyo kuanzisha msako wa kuwakamata Wanaume wote waliokwepa programu hiyo kwenye kumbi za starehe, matamasha ya Muziki, sehemu za manunuzi, migahawa na maeneo ya Umma...
  2. Webabu

    Putin: Vikosi vya Ukraine vilivyoingia Kursk vimetusaidia kusonga mbele Donbas

    Baada ya shambulio kali la Urusi kuua idadi kubwa ya askari kuruta wa Ukraine kwenye jimbo la Donest,leo raisi Putin wa Urusi ameweka wazi kuwa wamekuwa wakisonga mbele kwa kasi kuelekea kushika miji muhimu ya Donbas kutokana na kutokuwepo kwa upinzani wa askari wa Ukraine. Wiki tatu zilizopita...
  3. green rajab

    Ukraine kapigwa na kitu kizito wapoteza zaidi ya wanajeshi 600

    Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600...
  4. State Propaganda

    Kuna kila viashiria Zelensky atapinduliwa na kuuawa na majenerali wake

    Inaaminika siku za kuishi Zelensky zinakaribia kufika ukingoni. Anasema mchambuzi mwandamizi wa maswala ya kivita na siasa za kimataifa Scott Ritter, ambaye nijasusi mstaafu wa US. Ritter anafafanua zaidi na kusema kuna kila dalili Zelensky atafia mikononi mwa magerali wake. Ritter anaendelea...
Back
Top Bottom