Nahisi mgogoro wa congo ni zaidi ya tunavyoelezwa,ila hakuna anaetaka kusema ukweli.
1) Dhana ya wizi wa madini,
Mnashangaa sana Kwa Nini wanunuzi wakubwa wa madini na rasilimali za congo kwa Nini wasifanye biashara halali kwa kununua kwa mmiliki halali na halisi wa rasilimali hizo ambae ni...