mgogoro wa drc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mateso chakubanga

    Umoja wa Ulaya (EU) waitaka Rwanda kutoa vikosi vyake Mashariki mwa Congo huku ikipanga kupitia upya makubaliano ya malighafi na nchi hiyo

    ===== Umoja wa Ulaya (EU) utapitia upya makubaliano yake ya hivi karibuni kuhusu malighafi muhimu na Rwanda kufuatia mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), amesema Mwakilishi Mkuu Kaja Kallas. Hata hivyo, jumuiya hiyo haitafuata hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo...
  2. Pascal Mayalla

    Jinsi 4R za Rais Samia zinavyoweza kutatua mgogoro wa DRC

    Wanabodi, Ninapotafakari kwa kina mgogoro unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ninakumbuka falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kama ingetekelezwa ipasavyo, inaonekana kuwa ingeweza kuumaliza mgogoro huu mara moja. Swali linalojitokeza: Kwa nini wasaidizi wa Rais...
  3. MBOKA NA NGAI

    Barua ya wazi kwa Rais wa CHAD: Chad kupeleka wanajeshi Congo ni upoteza muda, wakati na utulivu nchini humo!

    Barua ya Wazi kwa Mheshimiwa Mahamat Idriss Déby Itno Rais wa Jamhuri ya Chad Mheshimiwa Rais, Kwa heshima kubwa kwa kujitolea kwenu katika juhudi za amani na utulivu barani Afrika, tunajiunga nanyi leo. Tumepokea habari kuwa Chad inajiandaa kutuma wanajeshi wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia...
Back
Top Bottom