=====
Umoja wa Ulaya (EU) utapitia upya makubaliano yake ya hivi karibuni kuhusu malighafi muhimu na Rwanda kufuatia mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), amesema Mwakilishi Mkuu Kaja Kallas.
Hata hivyo, jumuiya hiyo haitafuata hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo...
Wanabodi,
Ninapotafakari kwa kina mgogoro unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ninakumbuka falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kama ingetekelezwa ipasavyo, inaonekana kuwa ingeweza kuumaliza mgogoro huu mara moja.
Swali linalojitokeza: Kwa nini wasaidizi wa Rais...
Barua ya Wazi kwa Mheshimiwa Mahamat Idriss Déby Itno
Rais wa Jamhuri ya Chad
Mheshimiwa Rais,
Kwa heshima kubwa kwa kujitolea kwenu katika juhudi za amani na utulivu barani Afrika, tunajiunga nanyi leo. Tumepokea habari kuwa Chad inajiandaa kutuma wanajeshi wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.