WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ametatua mgogoro kati ya Jeshi la Magereza na Wananchi wa Kijiji cha Dondwe wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani baada ya wananchi hao kuzuiwa kutumia barabara inayopita katika Kambi ya Mvuti ambapo malori yanayobeba mchanga hutumia njia hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.