Mahakama yasisitiza wagombea binafsi
na Happiness Katabazi | Tanzania Daima
Mahakama ya Rufaa Tanzania, imetupilia mbali rufaa iliyofunguliwa na serikali, ya kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuruhusu kuwepo kwa mgombea binafsi katika chaguzi za Tanzania.
Uamuzi huo...