mgombea mwenza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Dkt. Hussein Mwinyi ndiye atakayekuwa mgombea mwenza wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo 2030

    Kwa Neema na Baraka za Mungu wakati huo, Dr.Emmanuel Nchimbi ndie atakae kua mgombea urais kupitia CCM, anakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi wote na waTanzania wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania. Ni muhimu sana kwa wale wote ndani ya CCM, wenye nia ya kugombea nafasi hizo muhimu za...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk...
  3. Tlaatlaah

    Unadhani kwanini CCM kumteua Dkt.Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wa Urais na Stephen Wasira kama M/kiti CCM taifa, upinzani nchini umekata tamaa?

    My friends, ladies and gentlemen, Kuuna hali ya wazi kabisa ya kukata taamaa na kupoteza matumani na uelekeo kwa upinzani nchini, hasa baada ya chama tawala CCM kumteua Stephen Wasira kama Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa bara, Dr.Hussein Mwinyi kama Makamu mwenyekiti wa CCM na mgombea uraisi...
  4. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Ushindi wa kishindo kwa Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utachochewa na mgombea mwenza kuwa Dr. Nchimbi

    My friends ladies, and gentlemen.. Ni wazi, utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kutamfanya achaguliwe tena kwa kishindo, kumalizia ngwe yake ya pili muhimu sana ya...
  5. Tlaatlaah

    Uteuzi wa Dkt. Emanuel Nchimbi kama mgombea mwenza urais wa CCM uchaguzi mkuu wa OCT.2025, ni wa kisayansi katika siasa za kisasa.

    Kwanza umefanyika kimkakati, lakini pia umefanyika kwa muda muafaka kama surprise, lakini kwa kuzingatia sheria na katiba ya CCM, bila kuathiri kwa namna yoyote ile sheria na katiba ya nchi kuhusiana na masuala ya uteuzi wa wagombea uongozi na uchaguzi wenyewe. Azimio la kumuidhinisha Dr...
  6. L

    Je CHADEMA nao kuchagua Mgombea Urais na Mgombea Mwenza baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti?

    Ndugu zangu Watanzania, CCM ni chama kiongozi Barani Afrika na ndicho chama ambacho hutoa Dira na mstakabali wa Taifa hili. Ambapo mambo yake mengi yamekuwa kama Dira na muelekeo wa Taifa hili. Lakini pia vitu vingi sana ambavyo vimekuwa vikifanywa na CCM vimekuwa vikiigwa sana na vyama vya...
  7. Father of All

    CCM na Samia wameogopa nini hadi kupitisha mgombea na mgombea mwenza kibabe, na kinyume cha katiba yao wenyewe mbali na kukosa demokrasia?

    Kitendo cha CCM kupitisha wagombea wao kabla ya kipenga kupigwa na kinyume na katiba yao, kinatia shaka. Je kuna mgawanyiko na kutoelewana kwenye chama cha machawa? Je wamefanya hivyo kuogopa nini wakati tunaambiwa mama anaupiga mwingi? Je hii inazika ndoto za makada wenye ushawishi mkubwa...
  8. M24 Headquarters-Kigali

    Prof Ndalichako alifaa kuwa Mgombea mwenza Oktoba 2025

    Kiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
  9. CM 1774858

    Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

    === Wana jamii forum hii ndio habari kuu mpya toka mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa kuwa Mhe Dkt Emmanuel Nchimbi ndio Mgombea mwezi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Ujao Oct 2025. Uteuzi na mabadiliko haya yataanza rasmi baada ya mwezi July Bunge litakapovunjwa hivyo Dkt Philip...
  10. Waufukweni

    Upinzani Mkali: Familia ya Tim Walz yagawanyika, Kaka amuunga mkono Trump

    Familia ya Walz inaonekana kuwa na mgawanyiko mkubwa wakati ambapo mgombea mwenza wa Kamala Harris, Tim Walz, ambaye ni Gavana wa Minesota anajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa 2024 huko Marekani. Jeff Walz, kaka mkubwa wa Tim na mfuasi mkubwa wa Donald Trump, ametoa msimamo wenye nguvu dhidi ya ndugu...
  11. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe siyo Msakata Rhumba maarufu ndio sababu hadi sasa bado yuko Jukwaani japo muda umeisha!

    Mchungaji Msigwa amesoma Adui Namba Moja wa Demokrasia hapa Nchini ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Msigwa amesema kuna msemo unaosema "Msakata Rhumba maarufu anajua muda wa kuondoka Jukwaani" kwa bahati mbaya Mbowe amekaa muda mrefu na hana mpango wowote wa kuondoka. Soma Pia: Peter...
  12. imhotep

    Tim Walz Gavana wa Minesota ateuliwa kuwa Mgombea Mwenza wa Kamala Harris

    Tim Wallz ameteuliwa kuwa mgombea mwenza na Kamala Harris. Safari hii naona Progressives wameangaliwa😁 --- Vice President Kamala Harris has chosen Minnesota Gov. Tim Walz to serve as her running mate in the 2024 presidential race—as Harris tries to gain ground on former President Donald Trump...
  13. GENTAMYCINE

    Kama aliyemkosoa vibaya hadi Kumtusi Trump Wiki hii Trump Kamteua kuwa Mgombea Mwenza kumbe hata Mimi Mkosoaji 2025 naweza kuwa Mgombea Mwenza wake

    JD Vance aliwahi kumwambia Trump kuwa ni Mpumbavu na Mwendawazimu asiyefaa kuwa Rais wa Marekani ila Wamarekani kwa kutuonyesha kuwa Siasa siyo Chuki na Uadui Wiki hii Mgombea wa Republican Donald Trump kamteua huyo huyo JD Vance kuwa Mgombea Mwenza ikimaanisha kuwa akiwa Rais Jamaa ( JD Vance )...
  14. L

    Donald Trump Amteua Mgombea Mwenza wake Mwenye Umri wa Miaka 39

    Ndugu zangu watanzania, Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump amemteua mgombea Mwenza wake Mwenye Umri wa Miaka 39 anayefahamika kama J.D Vance ambaye amewahi kutoa maneno makali sana kumtupia Trump mwaka 2016 wakati wa kinyang'anyiro cha Urais japo alikuja akajutia maneno yake miaka...
  15. U

    Donald Trump kuamtangaza rasmi mgombea mwenza wake muda wowote kuanzia sasa, kuelekea uchaguzi Mkuu wa Novemba 2024

    UDATES Trump taps J.D VANCE Ohio’s junior senator as his running mate Former U.S. President Donald Trump on Monday selected J.D. Vance, a senator from the Midwestern state of Ohio, as his running mate in November’s presidential election. Trump made the announcement on his Truth Social media...
  16. T

    Pre GE2025 Mgombea mwenza wa Urais Tanzania akitokea Zanzibar mgombea Urais anakuwa ametokea nchi gani?

    Mgombea mwenza wa urais kwenye uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitokea Zanzibar mgombea urais anakuwa ametokea nchi gani? PIA SOMA - Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
  17. P

    Rais Ruto: Kama Mwanaume akigombea Urais Mgombea Mwenza awe mwanamke

    Rais Ruto amesisitiza hilo leo Alhamis 7/3/2024 kuwa ataendelea kuhakikisha sheria ya 2/3 ya jinsia imetekelezwa kikamilifu katika chama chake cha United Democratic Alliance (UDA) na katika serikali ya Kenya Kwanza kwa ujumla. Katika uzinduzi wa Mkakati wa Baraza la Magavana Wanawake G7 jijini...
  18. Mwanamayu

    Je, Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Awamu ya Tano au ya Sita kwa mujibu wa Katiba ya nchi?

    Leo asubuhi nememsikia mtangazaji mmoja wa East Africa Radio (kwenye kipindi cha 12:00- 04:00) akisema Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan ni Rais wa awamu ya sita. Yawezekana wengi wakawa na mtazamo huo, au wengi wakafuata mtazamo huo baada ya kumsikia mtangazaji huyo. Je, kwa mujibu wa katiba...
  19. Allen Kilewella

    Tetesi: CCM inataka Dotto Biteko awe Mgombea Mwenza kwa Samia 2025

    Inasemekana kuwa ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2025 chama hicho kinatarajia kumfanya Dotto Biteko kuwa Mgombea mwenza kwa Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi huo. CCM bwana!!!
  20. kipara kipya

    Tunampongeza Rais Samia kwa mazuri anayofanya; tusisahau aliyemteua kuwa mgombea mwenza wake!

    Maisha yapo kasi sana wakati tunaendelea kumwaga pongezi za utendaji mzuri wa mama Samia Rais wa JMT katika kipindi cha miaka miwili. Tumshukuru pia aliyemteua na kumpa nafasi ya kuwa mgombea mwenza wake mpaka makamu wa raisi mpaka kufikia uraisi wa katiba katika nchi yetu. Tumpe haki yake...
Back
Top Bottom