Rais Samia angechaguliwa May kuwa mgombea urais ingeleta maana zaidi.
Sasa hivi serikali inakosa legitimacy. Serikali inakosa uhalali.
Hakuna ushindani,hakuna struggle,njia za mkayo zinatumika kuingia Ikulu au kukaa Ikulu.
Rais anaingia uwanjani na mtu anatembea MBELE ya gari. Whatever does...