mgombea urais chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Kipindi cha uteuzi wa Mgombea Urais, Wabunge na Madiwani kupitia CHADEMA kitagubikwa na hujuma sana endapo maridhiano yasipofanyika

    Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema. Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na...
  2. sinza pazuri

    Freeman Mbowe ni mgombea urais sahihi kwa tiketi ya CHADEMA 2025. Watanzania tumuunge mkono

    Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025. Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono. Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo. Chadema inaenda na...
  3. Ngongo

    Pre GE2025 CHADEMA, ni muda sahihi kumtangaza mgombea Urais?

    Heshima kwenu wanajamvi. Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan. CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani? Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu. CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za...
Back
Top Bottom