Na katika uchaguzi mkuu wenyewe sasa, hujuma zitafanyika wazi wazi kabisa kwa wagombea uongozi wa chadema kama kulipa kisasi cha figisu na songombingo za kabokamchizi wakati wa uchaguzi wa ndani wa chadema.
Kuna maeneo ambayo awali chadema ilikua na ufuasi mkubwa sana, but kwa hujuma na...
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na...
Heshima kwenu wanajamvi.
Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.
CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani?
Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.