Manzese
Picha ikionyesha baadhi ya maduka eneo la Manzese Tiptop, jijini Dar es Salaam leo asubuhi Jumatano Juni 26, 2024 yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea katika baadhi ya mikoa nchini.
Madai ya wafanyabiashara ni pamoja na utitiri wa kodi unaotozwa na Mamlaka...
Leo nimepita mitaa ya Mwanjelwa nimekuta fremu zimefungwa. Wamachinga wanaendelea na biashara zao kama kawaida.
====
Pia soma:
Mgomo wa Soko la Kariakoo, Juni 24, 2024
Mgomo wa Wafanyabiashara wahamia Mwanza, maduka yafungwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.