Mkuu wa Wilaya ndio mwakilishi wa Rais, changamoto zote za wilaya lazima zianzie kwa Mkuu wa Wilaya kabla Mkuu wa Mkoa hajaingilia kati.
Sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya Mwaka 1997 kifungu cha 14 na 15 vinamtaja DC kama msimamizi mkuu wa shughuli za maendeleo katika wilaya.
Leo asubuhi...
Wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga katika Soko la Simu2000, jijini Dar es Salaam wameanza mgomo asubuhi ya leo Jumatatu Julai 8, 2024 kwa kufunga barabara, huku wakiimba nyimbo za kudai haki yao.
Wamachinga hao wanadaiwa kulalamikia mpango wa sehemu ya eneo wanalofanyia kazi zao...