mgomo naijeria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Waandamanaji Nigeria wakicheza na wanajeshi

    Ikiwa ni siku ya tano ya maandamano yanayoendelea nchini Nigeria ya kupinga hali ngumu ya maisha na ukosefu wa ajira kwa vijana, huku raia wakitaka serikali ishuhulikie suala hilo kwa haraka zaidi, wananchi hao wameonekana wakicheza kwenye magari ya vikosi vya jeshi la taifa, hata hivyo vikosi...
  2. Nigeria: Wafanyakazi wasitisha Mgomo baada ya Serikali kuongeza kidogo Kima cha Mshahara

    NIGERIA: Vyama na Umoja wa Wafanyakazi vimetangaza kusitisha Mgomo ulioanza Juni 3 baada ya Serikali kufanya mabadiliko kidogo ya Kima cha Chini cha Mishahara kutoka Tsh. 52,200 hadi Tsh. 104,400 Licha ya usitishwaji wa Mgomo huo ulioripotiwa kuathiri kwa muda huduma muhimu, bado kiwango...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…