Pharmaceutical Society of Tanzania (PST) ni chama cha kitaaluma, kwa taaluma ya famasi nchini. Baadhi ya
malengo yake ni kuboresha na kukuza ubora wa huduma na shughuli za dawa, kuweka ushawishi sahihi na wenye maslahi/faida kwa watanzania katika masuala ya afya.
Tunashukuru Wizara ya Afya...
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.