mgomo wa kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kyela: Mgomo wa maduka ni balaa, Wananchi waiomba serikali iongee na Wafanyabiashara wayamalize

    Mgomo unaofanywa na Wafanyabiashara kwenye Mji wa Kyela unaochukua siku ya 3 sasa umeanza kuumiza wananchi Inawezekana mgomo wa eneo hili ukawa ndio mgomo kabambe kuliko yote nchini Tanzania, ni vigumu kyela kupata hata kiberiti au mafuta ya kula, karibu kila mwenye duka amefunga duka, duka...
  2. Mgomo wa Kariakoo ungekuwa umefanywa na wamachinga Serikali ingeogopa, ila wafanyabiashara wenye maduka hawaitishi

    Habari wadau, Ukweli mchungu ni kwamba wauza maduka Kariakoo mgomo wao hauna nguvu na wala serikali haiwaogopi sababu hawatishi. Machinga ndio wanatisha maana ni jeshi kubwa. Kuna wakuu wa mikoa kibao walijaribu kutaka kuwaondoa wamachinga wakajikuta wamepoteza vyeo vyao. Wamachinga...
  3. Mgomo wa Kariakoo: Siri ya Maduka Kufungwa na Hali Halisi Inayowakabili Wafanyabishara

    Leo, wafanyabiashara wa Kariakoo wamesitisha shughuli zao kwa pamoja kwa kugomea kodi na ukaguzi mkali, hatua ambayo imesababisha maduka kufungwa na kuathiri biashara kwa kiasi kikubwa. Mgomo huu unakuja baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wafanyabiashara kuhusu ongezeko la kodi na...
  4. TAKUKURU mgogoro Kariakoo Mmechangia kwa kutowajibika

    Hawawezi kukwepa kuwa sakata la Kariakoo lisinge fika hapo lilipo kama wange wajibika. Kulipo undwa Kikosi kazi (Task force) cha TRA kufuatilia kodi Kariakoo ndipo mianya ya rushwa ikapamba moto na vijana waliopewa jukumu hilo ndio wakaona ni nafasi ya kukandamiza wafanyabiashara kujitajirisha...
  5. Rais Samia naskia upo JamiiForums, basi pitia hapa

    Mama ili Nchi iendelee inatakiwa watu walipe kodi ila lazima uangalie namna unavyowakamua wananchi wako namna unavyowaumiza na sio kuwadai kodi kwa mabavu Mama mtu anaagiza mzigo China ukifika Bandarini analimwa kodi kubwa alatu mtu huyo huyo akifikisha mzigo wake store bado mnataka alipe kodi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…