mgomo wa wafanyabiashara nchini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mgomo Wasambaa Nchi nzima, Wafanyabiashara wa Kyela nao wagoma

    Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu. Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa...
  2. J

    Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Rose Mayemba akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo!

    Kuna tetesi Kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba anashikiliwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo. Ikumbukwe asilimia 90 ya Wafanyabiashara wa Kariakoo ni Wakinga kutoka mkoani Njombe Tutaendelea kufuatilia Nawatakia Dominica Njema 😃...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…