Wamasai hawana ardhi yao, ardhi ni yetu sotekwa Sheria ya ardhi ya 1999.
Aidha Rais Dkt. Samia aliwahamisha FAIRLY Ngorongoro hadi Tanga na kuwapa upendeleo kuliko kabila lolote; makazi, elimu, afya, malisho bure.
Wanaowafunda Wamasai migogoro dawa yao inachemka.
Tuelimishane...
Kwanza...