Naweza nisiwe katika jukwaa maalum ila nina maswali ninataka nipate majibu yake.
Kwa mgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi na mkewe? Kama ndiyo, ni kwa utaratibu upi? Kama sio, jawabu ni nini ili iwe ndio?
Je, pia kuna hatari zozote zile, kama ameshaoa?
Anyways, changamoto zao ni zipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.