mhariri

  1. State Propaganda

    Mhariri wa Habari ya saa mbili usiku UTV kazi imemshinda?

    Tokea jana kuna mkanganyiko mkubwa na muingiliano wa Habari, hasa za kitaifa UTV. Je, Msimamizi wa maudhui ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku katika chaneli hiyo ya Azam tv amekumbwa na nini!? Maana imeshaanza kuwa kero kwa sisi watazamaji .😠😠😠
  2. Mkyamise

    Shame on you Mhariri wa JAMVI LA HABARI

    Where is your professionalism? Shame on you!
  3. GENTAMYCINE

    Mhariri wa Gazeti la Majira umewaza nini hadi kuja na Kichwa cha hovyo hiki cha Habari leo?

    Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023? Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na...
  4. Dr. Zaganza

    Ungekuwa Mhariri Wa Gazeti Ungeweka kichwa kipi mbele na mwisho?

    Mambo ni mengi ,binafsi nigeweka hivi: Front page (FP) na last page (LP) FP: Watoto wasumbua likizo na wazazi wakitamani shule kufunguliwa (kana kwamba wao hawahusiki na malezi) LP: Kiatu chavutwa nusura kichanike Tiririka
  5. F

    Mhariri binafsi (Private editor)

    Habari wakuu! napenda kuwajulisha kuwa nafanya kazi kama mhariri binafsi, kwa wale wanaojihusisha na uandishi wa vitabu, hadithi (simulizi), makala tofauti tofauti na kazi zingine za kiuandishi nipo hapa kufanya kazi zenu. Kama utahitaji mhariri ili kuhariri kazi yako basi nipigie au nitumie...
  6. Mromboo

    Kama Siasa tulifikia hapa, naomba kujua mhariri wa hili gazeti. Je huu ndio mfumo wa kuchora katuni?

    Ndugu wana jamvi, Japo mimi sio mchoraji wa katuni lakini nawaombeni kujua mawili matatu kuhusu hii fani; hivi huwa inaleta picha gani au taswira gani unapomchora mtu/kibonzo cha mtu kwenye gazeti tena ukurasa kwa mbele kwa taswira ya ng'ombe? Maadili ya kiuandishi hapa yanasemaje? Naombeni...
  7. kavulata

    Alichofanya Mhariri ya Gazeti la Uhuru kina harufu ya uhaini

    Gazeti la Chama Tawala limefungiwa kwa kuandika taarifa ya isiyokuwa sahihi kuhusu Mkuu wa Nchi na Amirijeshi Mkuu wetu ambayo imesababisha taharuki za kisiasa, kikanuni na kikatiba kwa taifa. Haiwezekani gazeti la Chama tawala likosee taarifa kuhusu Mwenyekiti wa chama wao na Mkuu wa taifa kwa...
  8. Jidu La Mabambasi

    Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru, Ernest Sungura CCM mlifanya usaili?

    Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura. Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund. TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka...
  9. Analogia Malenga

    Mhariri wa magazeti ya Serikali akamtwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa

  10. Jidu La Mabambasi

    Mhariri "Daily News" sasa unatia aibu! Yapi Merzeki na mradi wa Umeme , wapi na wapi?

    Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News. Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!! Mhariri naona amechok kazi. No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake. Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
  11. Jolebatawi

    Absalom Kibanda, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima alishatimka?

    Wadau kulikuwa na tetesi kuwa huyu jamaa anahamia new Habari Corporation kwa RA kuanzia tarehe 1.12.2012, na ushahidi wa hili ni alipoanza kuandika makala ndani ya gazeti la Tanzania Daima (m4c kama nape anavyoliita) kwa kuanza kujikomba kwa magamba kama makala yake ya namuogopa kinana,mara...
Back
Top Bottom