miaka 10 richmond

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Allen Kilewella

    Miaka 10 ya Kashfa ya Richmond bila ya Lowassa kufikishwa mahakamani!

    Siku tano zilizopita yaani tarehe 7/2/2018 ilitimia miaka kumi kamili tangu Edward Lowassa ajiuzulu uwaziri Mkuu tarehe 7/2/2008 kutokana na kuhusishwa na Kashfa ya utoaji Tenda kwa kampuni ya kufua umeme ya richmond. Lakini mpaka leo mbali ya kutuhumiwa tu na mahasimu wake wa kisiasa Lowassa...
Back
Top Bottom