This article lists the major characters from the manga series Fushigi Yûgi, its anime adaptation, and the prequels Fushigi Yûgi: Genbu Kaiden and Fushigi Yûgi: Byakko Senki.
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake kwa kuahidi kuendelea kuwekeza katika uvumbuzi wa kidijitali na kuongeza ubora wa huduma kwa wateja wake na kuwa wanayo dhamira ya kuimarisha nafasi ya TCB katika sekta ya kibenki nchini.
Akizungumza kwa niaba ya...
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?
Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya...
Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya.
Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao.
Sasa angalia ni tunahitaji miaka...
bunge
bunge la tanzania
ccm
hata
hii
kanda
kanda ya ziwa
kenya
miakamiaka100
mkubwa
mkuu
mkuu wa wilaya
mtaji
sana
siasa
siasa za kenya
tanzania
tatizo
umasikini
wilaya
ziwa
Surah Al-Kahf (18:9-26): Katika aya hizi, Mwenyezi Mungu anasimulia kisa cha Ashab al-Kahf, ikiwemo hadithi yao ya kuingia pango na kulindwa na Mungu kwa miaka mingi. Hapa kuna baadhi ya aya muhimu:
Surah Al-Kahf (18:10): "Wakati wa vijana walipokimbilia pango wakasema: ‘Mola wetu! Tuonyeshe...
Salaam.
Katika kuadhimisha miaka 100 ya uwepo wake nchini Tanzania, Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, yazidi kufanya makubwa, yazindua shindano la VIA, kuhamasisha usalama barabarani, yamwaga madawati 70, Shule ya Msingi Makuburi.
Nimebahatika kuhudhuria tukio hilo,
1. Kwanza nikazungumza na...
Kwa zaidi ya miongo miwili iliyopita wanasayansi na wahandisi wa Israeli walibuni na sasa mfumo huo wa mihale (wave) wa kukatiza makombora ya balistiki.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Teknolojia ya vita, leo mfumo huo umefanikiwa kwa asilimia 100% kuyapereka makumi ya makombora ya...
Hi,
Kwasababu ya huu utandawazi wa internet, redpill movement, mgtow, mambo ya LGBTQ, udangaji, atheism, umaskini na unemployment wanaume wengi watachelewa kuoa, wanawake watazidi kuona suluhisho ni kudanga, wanaume wataona wanawake wote ni wadangaji, hata wakioana, muunganiko wa moyoni...
Habari wanajamvi?
Toka nchi nyingi za Africa zipate uhuru (Political independence) toka Kwa mkoloni mengi ysmefanywa kwe sector mbali mbali mbali,kijamii na kiuchumi, ni zaidi ya miaka 50 toka nchi nyingi zipate uhuru ila kasi ya maendeleo imekuwa aiendani na uvunaji rasilimali( Resources...
Ukiachana na suala la katiba mpya ambalo ni bomu linalohesabu dakika zake taratibu kabla halijalipuka kuna mambo mengi yatakayojitokeza na kusababisha kuwaibua wananchi wenye hasira kali (hiki kizazi cha sasa 2000's) watakaogawanyika kwenye vikundi vingi vidogo vidogo vikiwa na lengo kuu moja tu...
Najaribu kuwaza kwa sauti nzito lakini yenye utulivu wa kutosha tutakayoyasikia au vizazi vyetu watakayotamani kuyasikia kutoka kwetu miaka 50-100 ijayo juu ya uongozi wa Rais Samia.
Kama vile ambavyo, kizazi kilichokuwa hakipo enzi ya uongozi wa Mwalimu kinavyotamani kumjua Mwalimu kutoka kwa...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amekanusha upotoshaji mkubwa unaoendelea katika mitandao ya kijamii kuwa bandari za Tanzania zimeuzwa kwa kampuni ya DP World kutoka Dubai kwa miaka 100 na kusema jambo hilo halina ukweli wowote.
Akizungumza na waandishi wa habari wa kimtandao (JUMIKITA)...
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu.
Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na...
Plasduce Mkeli Mbossa, Mkurugenzi Mkuu TPA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Plasduce Mkeli Mbossa akiwa katika Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali Juni 7, 2023. Ametoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali kuhusu Mkataba wa Bandari ambao umezua mijadala mingi.
Akioa...
bado
bandari
kutafuta
mashamba
miakamiaka100
mkataba
mkurugenzi tpa
muda
plasduce mbossa
sakata la bandari
shughuli
tpa
ufafanuzi
utekelezaji
wafanyakazi
ALICHOKIZUNGUMZA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA (TPA)PLASDUCE MBOSSA, KWENYE MAHOJIANO NA TBC
“Bandari ya DSM iko kwenye hatua ya kufanyiwa maboresho, na utaratibu wa kutafuta kampuni kuendesha bandari ni utaratibu wa kawaida na tulikua na kampuni inaitwa TICS ambayo mkataba...
Swali ambalo limeulizwa sana mkataba huu ni wa muda gani? Wapi palipoandikwa miaka 100? Au wapi palipoandikwa miezi 12 ambayo TPA wamesema? Jibu lipo kwenye kufungu cha 23(4) cha mkataba.
Kifungu hicho kinasema mkataba ukishasainiwa, pande mbili za mkataba (serikali ya TZ na serikali ya Dubai)...
Ulifanyika uchaguzi 2020, Chama Cha mapinduzi kilimpa Magufuli na sa100 ilani waliyopitia nayo Nchi nzima kuinadi Kwa wananchi.
Katika ilani hiyo ya 2020, hakuna mahala popote CCM ilimuelekeza Magufuli na Sa100 kuuza au kukodisha bandari yetu ya Dar Kwa Miaka 100 au zaidi, Bali ilielekeza...
Tarehe 5 Juni 2023, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitoa Taarifa kwa Umma kuhusu mwaliko wa Wadau wote kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge la mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania a Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa Kiuchumi na...
bandari
chadema
dar
dar es salaam
dp world
dubai
kampeni
kampuni
kuendesha
kuuzwa
miakamiaka100
serikali
taarifa
tanzania
tpa
uendeshaji
upotoshaji
wahuni
waongo
world
yakanusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.