Kuna hii tabia ya mitandao ya simu kushikilia pesa za wateja pindi miamala inapofeli huwa inakera sana
Ijumaa iliyopita nilifanya muamala toka akaunti yangu ya Tigopesa lakini cha ajabu pesa ilikatwa lakini kule nilipokua nadeposit muamala mpaka sasa hauja reflect na pesa haijarudishwa kwenye...