michango nssf

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ikiwa mwajiri amegoma au kushindwa kukuingizia hela yako ya NSSF na tayari mkataba wako umeshaisha na mmeagana kwa amani nini hasa unabidi kufanya?

    Wakuu , naomba muongozo ni hatua gani sahihi za kuchukua endapo mwajiri hataki kukuwekea pesa yako NSSF na tayari mmeachana vizuri. Umri wa mwajiriwa umeshafika 60 yrs Ila mwajiri hataki kuingiza pesa NSSF?
  2. Naomba ufafanuzi kuhusu michango ya NSSF

    Hivi inawezekanaje muajiri amekwisha peleka mishango NSSF alafu ukienda kuangalia salio ukakuta kuna michango kadhaa imechomolewa wakati kabla ilikua inasoma. Hii kitu imewatokea wanachama kadhaa, naomba ufafanuzi Kwa mwenye ufahamu.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…