michango shule za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Michango ya ovyo ovyo shuleni ambayo haina maelezo ikome

    Wakuu, Zile mia mia na hela za michango ya mitihani na nyingine ambazo hazina maelezo yanayoeleweka toka kwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi mjue ni usumbufu kwa wazazi. Hapo mzazi akigoma kulipa mwanafunzi anachapwa au anaambiwa asiende shuleni, haya matamko ya kisiasa yanaharibu sana elimu...
  2. Dorothy Semu: Sera ya elimu bure inayopigiwa kelele na Serikali ya CCM ni ulaghai mtupu

    Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema sera ya elimu bure inayopigiwa kelele na Serikali ya CCM ni ulaghai mtupu. Haitekelezeki kwa ufanisi kiasi cha kurejesha tena michango lukuki kwa wazazi. “Wazazi wanachangishwa fedha kwa ajili ya mitihani, vitabu, chakula, walinzi, ukamilishaji wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…