Mimi ni mzazi ninayesomesha watoto zaidi ya wawili katika shule za sekondari za umma katika halmashauri ya wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.
Kero yangu kubwa ni kukithiri kwa michango mbalimbali kwenye hizi shule japokua baadhi ina tija ila hofu yangu ni uwezo wa wazazi kuimudu.
Wanafunzi...