michepuko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wale wanaume mnaohudumia michepuko na kuwapa mitaji piteni hapa mjifunze

    Mara kadhaa huwa nikiboeka napita YouTube nakucheka sana visa Mikasa na kujifunza sana kuhusu hawa wanawake namna gani wasivyokuqa na shukrani na vile wanatamaa zaidi ya fisi. Hapa chini ni kisa cha Mbaba mmoja aliyejitutumua na kumjari sana mchepuko wake. Basi baada ya valentine kupita...
  2. Tangu nikute mabinti wamekaa wanashauriana namna ya kujimilikisha mali za michepuko yao ilinifanya niheshimu kazi ya mikono yangu na wanao-istahili

    Sawa mnitukane sina hela. Vibinti tu ya 20+ yrs. Mmoja akawa anampa mfano wa jinsi nyumba aliyekuwa amewekwa rafiki yake na bwana yake (mme wa mtu) alitoka kapa bila ya kupata kitu baada ya huyo mwamba kufariki. So akawa anamwambia kila kitu anachokupa kiwe katika jina lako kisheria pia...
  3. Nitumie mbinu gani kupunguza ukaribu na hawa michepuko?

    Habari wakuu, Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani. Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao nimeweza kuzaa nao kutokana na wao kutaka iwe hivyo. Kati ya hao, yupo mmoja tu ndio huwa...
  4. MICHEPUKO INAKUHARIBIA MAISHA NA KUKUCHAFULIA NYOTA YA KIZAZI CHAKO.

    MICHEPUKO INAKUHARIBIA MAISHA NA KUKUCHAFULIA NYOTA YA KIZAZI CHAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Usijesema hili nalo sikukwambia. Ikiwa umeoa, Mkeo anakusumbua Sana. Iwe anakunyima tendo la ndoa, au anakufanya uhisi unahitaji Mwanamke mwingine. Unanjia mbili za kufanya ili kukabiliana...
  5. Bukoba: Mwanamke auawa kwa kunyongwa na wanaodaiwa kuwa 'michepuko' yake

    Jeshi la Polisi linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya Editha Andason, mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa, uliopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, aliyeuawa kwa kunyongwa kwa mtandio shingoni. Akizungumza na vyombo vya habari leo Desemba 28, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Brasius...
  6. Mnachelewa kuinuka kwa sababu mnacheza nafasi ya mme kwa michepuko yenu

    Ulee mke Ulee familia Utunze akiba Watoto wasome medium Etc Bado tena mchepuko unaubeba kama mayai. Yani unaweza kuta kiatu ulichomnunulia malaya ni mara tatu ya bei ulichomnunulia mama yako mara ya mwisho na anakishona kila siku. Alafu mkija JF mnatafuta mganga mnahisi mmerogwa maana pesa...
  7. Tunapoelekea mwaka mpya 2025, nashauri nyote kutumia Condom wakati wa kujamiina tumalize mwaka na afya njema

    Lengo la ushauri huu ni kuvuka mwaka bila kua na UTI sugu, gono, kaswende au UKIMWI ambao umenusurika nao kwa sehemu kubwa sana ya mwaka huu2024, na mwaka wenyewe unaelekea kuisha hivi karibuni. Huna haja ya kunishukuru, ni muhimu sana kumshukuru Mungu kwa kila jambo kwa mwaka mzima2024. Aidha...
  8. Nilichowaza mimi kumbe michepuko nayo inaokoa maisha🤭😂🤣🙌

    Alisafiri na mke wake kwenda sokoni walipofika wakapaki akakaa kwenye gari akimngojea mkewe anunue vitu sokoni mrembo mmoja akapita karibu na gari lake alipomuona akashuka akamfuata huyo mrembo ghafla ajali hii ikatokea... Nilichowaza mimi kumbe michepuko nayo inaokoa maisha🤭😂🤣🙌
  9. Hivi kumbe mpaka karne hii ya 21 bado kuna michepuko ina akili kiasi hiki?

    Wakuu salama? Kuna chimbo jipya(mchepuko) nimelipata hapa Dodoma.so katika story za hapa na hapa akanitumia huu ujumbe hapa chini. Nijuavyo mimi michepuko huwa 8na lengo la kuvuruga tu ndoa za watu. Ila huu mchepuko umenishangaza kidogo kwa jinsi ulivyo positive.
  10. Baada ya kuanza kuwa bahili, michepuko yangu imenikimbia haipokei simu zangu

    Kutokana na umri kusogea sana imenibidi nipunguze mambo ya starehe kama; kwenda sehemu za starehe, kunywa pombe, kucheza na warembo pamoja na kuchepuka. Nimeamua kujituliza ili niwaachie na wengine waweze kujiburudisha kwenye hayo mazingira ya kujimwambafai. Sasa changamoto iko hivi, wale...
  11. Hivi kwanini michepuko wako hivi

    Unakuta mume si wako ila unakiherehere wewe ndio unashadadia vitu kama mume wako. Mtu akipiga unapokea unamuliza wewe nani, kwani wewe nani. Kila mahali unamganda mume wa mwenzako unajitoa kama mume wako hii ni KERO akifa mbona huji ila akiwa hai unahangaika. Hatunywi maji wewe kama wewe ngoja...
  12. Una moyo mwepesi lakini huachi kumfuatilia Mwenza wako, hatuna hela ya rambi rambi zako

    Mhadhara - 41: Una moyo mwepesi na mlaini kama karatasi la kufungia maandazi, lakini huachi tabia yako ya kumfuatilia mpenzi/mume/mke wako. Shauri yako, one day tutakuzika kwasababu ya kufumania. 1. Ukikata kitunguu huachi kutoa machozi, lakini kutwa unapekua simu ya mwenzako. Shauri yako. 2...
  13. Mtu umeoa ila bado unanunua wanawake, michepuko kila kona. Sasa umeoa ili iweje?

    Hakuna watu wanafiki Kama waliooa Mtu ameoa Ila anashinda anazunguka sehemu za kukua Dada poa mwingine michipuko kibao . Sasa umeoa ili iweje?
  14. Kwa mwenendo wa vijana hawa, UKIMWI kuisha tusahau!

    Wamekuja mabinti wawil kupanga. Nikawapangisha chumba baada ya muda Wakaanza kutembea na Wanaume za watu wa vile vyumba vingine. Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani. Juzi wamepigana sana kisa simu na message wale Wanandoa. Wale Vijana wa mtaani baadhi ni...
  15. Wanaume mliooa na bado mna michepuko nje mmeoa kwa ajili gani?

    Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo? Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa? Ndoa ni fashion?
  16. Mkeo au mchumbaako akitaka kuwasiliana na michepuko yake hutumia zaidi simu ya rafiki yake

    MKEO AU MCHUMBAAKO AKITAKA KUWASILIANA NA MICHEPUKO YAKE HUTUMIA ZAIDI SIMU YA RAFIKI YAKE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kuna wale wanaume wenye tabia ya kuzikagua simu za Wake au wachumba zao. Mbaya zaidi huzikagua waziwazi. Hilo ni kosa. Unapoishi na mwenza iwe mumeo au mkeo usifanye...
  17. Michepuko ya Demu wangu inanipa stress nifanyeje?

    Mimi ni kijana mdogo, na ndio nimemaliza chuo last year october so nipo katika kujitafuta. Nina mpenzi niseme, au kwa ujana tunaita dem nimekuwa na mahusiano nae for almost 7 months. Tulikuwa wote chuo kimoja ila yeye kaunganisha masters. Kuna kitu ambacho kinaniwazisha sana. Demu huwa hataki...
  18. Daliliz za mchepuko😂

    KUPENDA KUTEMBEA NA MIPIRA YA KINGA Ukiona mpenzi wako ana tabia ya kubeba kondomu kwenye pochi yake au mfukoni kwa kisingizio kuwa anajali, elewa kwamba yuko katika mahusiano na mtu mwingine. UTATANISHI KATIKA MATUMIZI YA SIMU Ukiona simu zinamiminika mpaka usiku wa manane naye anapokea kwa...
  19. Tuliowahi kusumbuliwa na wazazi wetu kwa sababu ya michepuko yetu tujuane hapa kupitia visa vyetu

    Inakuaje waheshimiwa? Thread hii ipo kwa lengo la kuhadithiana visa mbali mbali tulivyokumbana navyo kati yetu, wazazi wetu na michepuko yetu. Hapa juu naomba nianze na kisa cha kwanza 👇 Nikiwa na umri wa miaka 20, kuna kabinti fulani nilitokea kupendana nako. Kabinti hako kalikuwa kakali...
  20. Hivi ni kwaninni kuwasiliana na michepuko ni kutamu zaidi na kunanoga?

    Posted, Hakuna maneno meengii.. Yani ni kwanini sauti ya mchepuko ni tamu, inabembeleza, inajali and so many others. Guyz! Why?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…