michezo wa kamari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mara nyingi matokeo ya mpira huwa yanapangwa wachezesha kamari

    Wewe ulisha wahi kujiuliza inakuwaje timu ya Yanga au Simba ambazo zinausajili wa mabilioni ya shilingi zinakuja kufungwa kiurahisi na timu kama Tabora au Mbeya city. Kwa watu ambao tunasema wameamua kujitolea tu kucheza mpira. Huo michezo sio bongo tu hata ulaya ipo yani inakuwa hivi kabla ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…