Wachina wanaomiliki mashine za kamari (slot machine) maarufu kama 'dubwi' au 'bonanza' wanakusanya kiasi kikubwa cha fedha lakini wanalipa kodi ya Sh 100,000 tu kila mwezi.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa, kutokana na kukusanya kiasi kikubwa cha fedha, hasa katika sarafu za Sh...