Wakuu naomba kujua App ya Microsoft kali kwa gharama nafuu. Kila kitu cha Microsoft office nachofanya kwenye PC nifanye kwenye Tablet
Nimejaribu Microsoft 365 App inanigomea. Nadhani tablet yangu haisapoti
Habari,
Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako.
Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu.
Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
adobe
app
apps
audio
biashara
dar
dar es salaam
free
graphics
je wajua
kazi
key
kitabu
kusikiliza
kusoma
mechanical
microsoftmicrosoftofficeoffice
pro
professional
software
speech
unatafuta
wajua
windows
windows 10
yako
Habari wadau
Hivi nifanye nini ili niweze kuandika kisahili vzr katika Microsoft Office application km ms word nakadhalika ukidownloadi Kiswahili languange pack na ukiiweka humo bado maneno mengi hayamo je kuna extension yoyote inaweza kusaidia katika hili
Natanguliza shukrani za dhati...
Habari za majukumu? Naomba msaada ili niweze kuendelea kutumia Microsoft Office. Nikifungua office yoyote naambiwa niingize office product key, hizi product key ninazitoa wapi na hili tatizo limeanza wiki hii.
Nashindwa kufungua assignments zangu nilizokuwa nimefanya kwenye hii Laptop.
Poleni na majukumu ya kila siku, jamani naombeni kupatiwa hiyo program "Microsoft Office 2007 with product key". PC yangu haina hii program inanikosesha raha ya kuitumia. Mwenye nayo msaada tafadhali!
Nauza notes za Microsoft word nimeelezea Kila kitu kwa picha hatua kwa hatua, Ni nzuri kwa watu wote wanaotaka kujifunza na waliojifunza.
, Ufafanuzi Commands zote katika Lugha ya Kiswahili isipokuwa Majina ya tabs yamebaki kwa Kiingereza.
Gharama Ni Tsh. 5000 piga simu 0685-513-806 ili...
Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya.
Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa Windows hutumia faili aina ya LIP (language interface pack) kuwezesha lugha zisizo Kimombo kuonyeshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.