middle east

The Middle East is a transcontinental region which includes Western Asia (although generally excluding the Caucasus), and all of Turkey (including its European part) and Egypt (which is mostly in North Africa). The term has come into wider usage as a replacement of the term Near East (as opposed to the Far East) beginning in the early 20th century. The broader concept of the "Greater Middle East" (or Middle East and North Africa) also adds the Maghreb, Sudan, Djibouti, Somalia, Afghanistan, Pakistan, and sometimes even Central Asia and Transcaucasia into the region. The term "Middle East" has led to some confusion over its changing definitions.
Most Middle Eastern countries (13 out of 18) are part of the Arab world. The history of the Middle East dates back to ancient times, with the geopolitical importance of the region being recognized for millennia. Several major religions have their origins in the Middle East, including Judaism, Christianity, and Islam. Arabs constitute the majority ethnic group in the region, followed by Turks, Persians, Kurds, Azeris, Copts, Jews, Assyrians, Iraqi Turkmen, and Greek Cypriots.
The Middle East generally has a hot, arid climate, with several major rivers providing irrigation to support agriculture in limited areas such as the Nile Delta in Egypt, the Tigris and Euphrates watersheds of Mesopotamia (Iraq, Kuwait, and eastern Syria), and most of what is known as the Fertile Crescent. The most populous countries in the region are Egypt, Iran, and Turkey, while Saudi Arabia is the largest Middle Eastern country by area. Most of the countries that border the Persian Gulf have vast reserves of crude oil, with monarchs of the Arabian Peninsula in particular benefiting economically from petroleum exports.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    WATANZANIA ELITES: Kabla ya kuja kwa internet, mgogoro wa Middle East mlipataje habari zake??

    Watanzania wenzangu elites wa Masaki na Oyster Bay, mlikuwa mnapata wapi habari za mzozo wa Middle East wa Israel na Palestine kabla ya Internet kuingia Tanzania?? Nimeuliza hivyo kwa maana Masaki na Oyster Bay ndio wanapokaa Think Tanks za nchi na sijasema kwa lengo la kuwakejeli au kutengezea...
  2. SIPENDI SIASA

    Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews?

    Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??.. ~ SIPENDI SIASA ~
  3. jmushi1

    Kwanini vita vya Mashariki ya Kati havisababishi kutokea kwa Vita Kuu ya Dunia?

    Hili swali huwa najiuliza sana. Mara zote ambapo vita ya dunia ilitokea, sababu kubwa unakuta ni maslahi ya mataifa makubwa. Mataifa ambayo yanapishana “ideology” Mfano mataifa ya mashariki na magharibi. Na inakuwa vita ya dunia kwasababu utakuta kila nchi ina upande iliyochaguwa hata kama...
  4. Mende mdudu

    Ajira za jeshi Middle East haziitaji connection

    Kutokana na hali halisi uko mashariki ya kati, Palestine, Israel, iran, Lebanon n.k. Ukitamani kua mwanajeshi uko unaonekana mzalendo na milango ipo wazi kutokana na huwalisia wa kuepo na matukio kila kukicha, unapokelewa kama mfalme ukitaka kujiunga na majeshi uko kama raia wa taifa lao...
  5. matunduizi

    Israeli ni Wakristo waliozaliwa mara ya pili, sio wale jamaa pale Middle East

    Wagalatia 3:28 ,29 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Ni hayo tu. Mfano mimi sio mmatumbi kimsingi ni...
  6. B

    Kwa udogo wa Israel, tuwaombee kuendelea kuwepo hapo Middle East

    Nchi ndogo yenye ukubwa wa 21, 600+ sq.k lakini inapambana na manchi makubwa na sio moja. Kwa sasa Israel inachapa Palestine, Iran, Lebanon, kambi za kijeshi zilizopo Syria na Iraq. Huu ni uwezo usio wa kawaida na hii inaonesha kila hatua Israel inavyopambana na adui zake ni kwa msaada wa...
  7. B

    Magharibi wakimalizana na Middle East, Far East wajiandae

    Magharibi wako mbali sana kimahesabu. Westerners ni nyoko. Naona mahesabu yao ni Far East akiwemo Putin, Jon Jun, na wapuuzi wengine wasiojali haki za binadamu. Saudia Yeye hana cha kusema, UAE ni centre ya Uchumi kwa Westerners so hapo ni kama Nyumbani tu. Hawapagusi.
  8. Pearce

    Israel ikishughulika na Magaidi Middle East, MODS shughulika waunga mkono wa JF

    Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa. Kwahiyo hata wale waunga mkono wa JF (ugaidi wa keyboard) Tunaomba waanze kushughulikwa na MODS sababu wamekuwa wanaongoza kutuma...
  9. matunduizi

    Kwanini siku hizi hakuna ugaidi wa kujitoa muhanga Middle East?

    zamani tulisikia mtu kajilipua kwenye daladala huko Tel aviv, mtu kajivika mabomu na kujilipua mtaani. Lakini hadi sasa ni karibu miaka 10+ sijawahi kusikia kuna mtu kajilipua huko middle east kuwaua waisrael au watu flani asiowapenda Je, Teknolojia ya kuwagundua imekua? Je wamegundua ni...
  10. green rajab

    Urusi yasema "Full scale war" ndio njia sahihi ya kutafuta amani Middle East

    Rais Vladimir Putin amesema njia sahihi ya kupata amani mashariki ya kati ni kuanzisha vita kamili kauli imekuja baada Israel Jana kutuma barua ya kuomba mazungumzo na Iran pamoja na Lebanon na huo ujanja wa kukwepa vita kamili dhidi yake... JUST IN: 🇷🇺 Russia says a full-scale war is the only...
  11. Mhafidhina07

    Machafuko ya middle east na uchokozi wa Israel ni wazi kuwa inataka kutengenezwa vita ya 3

    Hakuna asiyefahamu kuwa Bara la Asia ndiye tajiri mkubwa wa imani za kidini takribani asilimia 60 ya dini zimetoka katika bara la Asia niwazi kuwa ndiyo bara lenye ustaarabu mdogo kuliko mabara mengine hapa duniani,na kwasababu hizi imetengenezwa mfumo wa dini ili kuzitawala akili mbovu za hawa...
  12. The unpaid Seller

    Nilikuwa mbishi lakini nimekubali Iran ndiyo mbabe wa Middle East na Dunia kwa ujuma, hakuna cha USA, China wala Russia

    Wakuu, long live to you all. Baada ya kutembeza kichapo kwa Israel hivi majuzi, kichapo cha baruti za matango hakika Iran imetuonyesha umwamba wake. Asilimia 99% ya balistic missile zote yametunguliwa yani wanarusha baruti zao zaidi ya 500 alafu moja tu ndio linatua ardhini likimjeruhi mtoto...
  13. Mhafidhina07

    Ikitokea Ukanda wa Middle East Waarabu wakaungana wakaipiga Israel na kuiangamiza. Je, asili ya Israel itabaki pale?

    Kwanza kabisa naomba nikosoe kitabu cha bibilia ambacho ndicho kinaipa mamlaka ISRAEL ya kuharibu amani ya Middle East na Inaonekana ni mkakati ambao umeandaliwa ili kuvuruga amani ya waarabu kwa kuwadhoofisha kwani ndiyo nchi pekee zinazomiliki nishati ya mafuta kwa wingi/utajiri hivyo...
  14. Mhafidhina07

    Waafrika wanavyoichukulia Vita/shambulio la ya middle east kuhuhisianisha na dini,totally wrong.

    Hamas mwezi october 7 walifanya unexpected attack ambayo iliwaduwaza watu kwa kiasi kikubwa na watu wengi afrika na akili zao mbovu wanachukulia vita hii ni ya kiimani sizani kama itakuwa ni sahihi kuivaa vita kwa njia ya dini,wakati middle east machafuko yake yameanza kipindi cha YAKOBO na...
  15. ward41

    Raia 10,000, wataalamu 140

    Israel ni taifa lenye maendeleo makubwa na uchumi mkubwa as per capita income kuliko mataifa yote middle East Ni taifa tena lenye technologia kubwa pale middle East Ni taifa lililopiga hatua kubwa Sana kwenye technologia ya kilimo, anga za juu, uchakaji wa madini, utaalamu wa mambo ya computer...
  16. Mlaleo

    Kumekucha: Israel yatangaza ipo tayari kwa vita na yeyote Middle East na mbaya wake yeyote. Mbwai Mbwai tu

    FORCE OF IRON Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo Israel vows they are ready to bomb across ‘entire Middle East’ in major warning to Iran and Hezbollah Israel wanajivunia kuwa wapo Tayari...
  17. M

    Kwa kuangalia tu na kutumia common sense, pale Middle East Israel siyo kwao

    Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wote ni Waarabu, imekuwaje mzungu ajikute katikati ya Waarabu. Jambo...
  18. Mathanzua

    It now appears that the massive naval and military build-up the US has been assembling in the Middle East is in preparation for war with Iran

    U.S. House Approves Resolution on Iran: "All means necessary" will be used to prevent Nuclear Armed Iran 02 NOVEMBER 2023 The U.S. House of Representatives passed a Resolution late last night to use all means necessary to prevent Iran from obtaining a nuclear weapon. Now we know why the...
  19. kimsboy

    Kambi za Marekani zinazidi kuteketezwa huko Middle East hali ni mbaya sana

    Kambi za Marekani huko Syria na Iraq zimeanza kuchomwa kwa kasi huko Mashariki ya kati. Hali inazidi kuwa mbaya! Naskia kuna taarifa kuwa Marekani imepanga kuhamisha wanajeshi wake huko. Tayari wanajeshi kadhaa wa Marekani washakufa huko middle East huu mgogoro unaelekea pabaya sana. Na...
  20. GENTAMYCINE

    Kwa wale tu Wanaodhani Israel ni Mgeni Middle East kitafuteni Kitabu cha Basic Facts of the United Nations ili msiwe Majuha tena

    Wengi wenu mnadhani na mmekaririshwa kuwa Israel iliyopata Hadhi ya kuwa nchi mwaka 1948 ni Mgeni huko Mashariki ya Kati wakati kumbe si Kweli. Taarifa ikufikie kuwa Politically Palestine ndiyo mwenye hilo Eneo linalozozaniwa ila Historically na hata Kitabu Kitakatifu ( Biblia ) Kimethibitisha...
Back
Top Bottom