Rev. John E. Kimario
Watu wa Mungu, watanzania wenzangu nawasalimu kwa upendo na kwa jina lipitalo majina yote. Kama tujuavyo HAKI HUINUA TAIFA, leo natuma waraka huu kwenu ukazidi kuifanya haki na upendo utamalaki kila kona ya nchi yetu hii nzuri.
Ndugu zangu, Mimi kama Mhadhiri katika...