Habari!
Nadhani watu wengi mmeshawahi kuskia watu kadha wa kadha wakisema ya kwamba dunia inaendeshwa ki mfumo, ila pia mlio wengi huwa hampati nafasi ya kuuliza watu hao wanaosema hivyo wanamaanisha nini na badala yake huwa mnaishia tu kukubaliana nao au wachache ambao wanapata kuwauliza watu...