Barua kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Septemba 4, 2024
Mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan,
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dodoma,
Tanzania.
Yah: Pendekezo la Kuunda Timu ya Wataalamu kwa Ajili ya Utafiti na Uchunguzi wa Kuboresha Mifumo ya Maendeleo ya Taifa...