📢 TANGAZO LA KIBIASHARA 📢
Dar ITcare - Wataalam wa TEHAMA kwa Mahitaji Yako!
Je, unahitaji suluhisho bora la kiteknolojia kwa biashara au taasisi yako? Dar ITcare tunatoa huduma za kitaalamu na mifumo inayokidhi mahitaji yako, ikiwemo:
Huduma Zetu:
Mifumo ya Biashara:
🏪 Maduka (POS)
💊 Famasi...
Imagine ni weekend unataka kuondokana na madeni ya tamisemi mintarafu maegesho. Unaingia kwenye mfumo wao na kuanza kupachipa namba za gari zako (za kampuni). Mfumo unakwambia kuna hitilafu na haiwezekani kupata huduma hiyo kwa muda huo. Unajaribu tena baada ya saa kadhaa na majibu ni hayohaho...
Enzi za Anko Magu TRC walikuwa na online system ya kukata tickets, ile system ilikuwa rahisi sana, simple yani unaenda station kupanda train tu.
Ukienda kukatia ticket station basi umependa mwenyewe. Mimi mwaka 2017 mpka 2021 nilikuwa muumini sana wa safari za train kama nakuwa sina haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.