migambo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Kwenye vita huwa tunatanguliza migambo

    Vita ipo kwenye rasha rasha. Hiki ni kipindi cha kutanguliza migambo. Kuna migambo wanakufa kuna migambo wanajaribu kusogea. Jeshi kamili lipo armory linajikoki
  2. masai dada

    TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo

    Msiwasikilize wanasiasa, TRA wanatumia migambo kama 10 kwenye kafrem kadogo. Natamani ku attach video ya cctv ila nahisi watanirudia waniite muhujumu uchumi. Jamaniii sijawahi shuhudia hiyo nguvu hata kama umekutwa unaiba kambi ya jeshi. Aiseeee jitahidi hawa jamaa wakija uwe una leseni, ni...
  3. Chizi Maarifa

    Sisi Migambo pia tuheshimiwe. Naona kama tunatengwa sana

    Serikali ituangalie kwa nini sisi hatupewi heshima tunayostahili? Na sisi Migambo ni jeshi. Nimeona mara nyingi watu hawatuoni kama sisi ni chombo cha dora. Sijaelewa kwa nini. Nimekwazika sana leo kondakta kanikomalia nitoe nauli na amemwacha askari asilipe. Mimi kanikomalia kinyama mpka kuna...
  4. EMMANUEL JASIRI

    Vituko vya migambo wa jiji la Arusha

    Siku moja Kaka mmoja wa kimasai ,katika harakati zake za kutembeza mikanda ili kuiuza, Alikutana na mteja, akawa akimwonyesha hiyo mikanda bila kuweka chini bidhaa zake, Akaja mgambo akamkamata, Kijana akahoji kosa lake ni nini? Mgambo aka endelea kung'ang'ania zile bidhaa bila maelezo...
  5. Mpinzire

    Mikocheni Dar: Machinga wapigana na mgambo

    Mapigano yameibuka Mikocheni eneo la Viwandani Barabara ya Siwa Jijini Dar es Salaam baina ya raia wawili na Mgambo ambao walikuwa wakitekeleza zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara ambao wamesalia katika maeneo yasiyo rasmi ambapo chanzo cha mapigano hayo kinadaiwa kuwa raia hao wawili walikuwa...
Back
Top Bottom