migogoro chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Mchungaji Peter Msigwa ni rafiki yangu, lakini nitamkabili Kisiasa

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa pamoja na kuwa na urafiki wa muda mrefu na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, kwa sasa hawezi kumkwepa kumkabili kisiasa, kwani Msigwa amehamia chama pinzani na si mwanachama...
  2. G

    CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

    Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais...
  3. Gabeji

    Pre GE2025 Tundu Lissu utaweza kusukuma gari ukiwa ndani ya gari au ni bora ushuke kwanza ndipo ulisukume ili uendelee na safari yako ya kisiasa?

    People's power! Bila shaka Mh. Tundu Lissu ni mzima wa afya njema. Pole na kulipigania hili pendwa taifa hili. Mwanasiasa mwenye msimamo mikali zaidi Tanzania, mzalendo namba moja Tanzania, mwanaharakati hatari zaidi Afrika, yote, mpigia nia haki zaidi Tanzania, mwasiasa ulie nyooooka, huna...
  4. ChoiceVariable

    CHADEMA Kigoma kwafukuta, sarakasi za mwenyekiti wa chama mkoa zapingwa vikali

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA. Tukio...
  5. Tlaatlaah

    Pre GE2025 CHADEMA inaangamia vibaya na kwa uchungu sana

    Haifahamiki inatetea nini kwa sasa, na kiongozi wake ni nani kwa sasa. Haijulikani mikutano inayoendelea kwa sasa ina baraka na inagharamiwa na chama au ni mikutano ya mtu binafsi tu. Uelekeo wala dhima ya mikutano yenyewe haifahamiki ni nini, maana ni story na porojo tu za pata potea mwanzo...
  6. chiembe

    Kwa wale vijana ambao hawakushuhudia NCCR ikisambaratika, sasa angalieni CHADEMA, kinakufa kifo cha mende

    Tulioshuhudia NCCR ikisambaratika kama tikiti maji lililotupwa kutoka ghorofa ya 50, sasa, kwa macho yao, watashuhudia anguko la chadema. Chama hicho ambacho kinajinasibu kwa kula rushwa, kimejikuta kikining'inia kwenye uzi mwembamba, na ni dhahiri kitapasuka. Pia soma CHADEMA itaingia...
  7. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

    Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja. Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni. Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama Ni...
  8. Mpekuzi Tanzania

    Pre GE2025 Hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA, imepatwa na nini?

    1. Mwenyekiti yupo kimya anaonekana kwenye makongamano tuu ya TCD na aina iyo. Hakuna kauli yoyote toka Kamati Kuu ikae 2. Makamu Mwenyekiti anafanya mikutano peke yake (sio kitaasisi) huku akiendelea kupitisha bakuli la kununua shangingi. Kajikita singida kwao. Je, anataka kuanzisha Chama...
Back
Top Bottom