migogoro kwenye ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. USSR

    Mume amuuwa mkewe na yeye kujinyonga chanzo kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kifamilia

    Watu wawili ambao ni mke na mume wamefariki dunia baada ya mume kudaiwa kumuua mkewe kisha naye kujiua katika Kijiji cha Njirii Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni Mkoani Singida huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kifamilia. Imeelezwa kuwa marehemu Janeth Stephano(36) alikutwa kitandani...
  2. Pdidy

    Hizi ndoa zina mambo sikia kwa wenzio. Kabla yakuingia fikiria kwanza

    Wapendwa nawatisha la hasha nawaweka haya kukusaidia wewe unaekaribia kuoa ndoa ni taasisi kama taasisi zingine unapoingia jifunze kwanza kukoje je faida na hasara ni zipi Kwanza nitaweza kuvumilia ama lah Natoka kikao kimoja cha wanandoa kwa mjumbe bahati n mjumbe msaidizi na niko kwenye...
  3. Dola Iddy Wa Chelsea

    Kama upo single usitamani ndoa

    Nianze kea kuwapa pole wote mnaoteseka na maisha ya ndoa, Pia natoa pongezi kwa yeyote alie single kea kusema hongera 👋👋👋 Niliishi maisha ya ndoa KABLA ya kurejea katika ubachela tena ndio maana napinga maisha ya ndoa kwa visa na vitimbi nilivyokumbana navyo Niliteseka sana ku hustle lili...
  4. KikulachoChako

    Shirikisho la Wanaume Wanaopitia Changamoto kwenye Ndoa (SHIWACHANDO). Wajumbe watoa shuhuda

Back
Top Bottom