Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kigoma, Rajabu Mfaume Bujoro, agomewa na wenyeviti wa wilaya na majimbo kwenye ajenda ya kupinga maamuzi ya kanda ya Magharibi, kuhusu kuthibitishwa kwa katibu wa chama hiko Mkoa wa Kigoma kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.
Tukio...
Mpo salama bila shaka.
Inapotokea migomo ya nyakati hizi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ni muhimu kuiendea kwa umakini.
Wanasiasa wanaelewa nazungumzia nini.
Watatuzi wa migomo lazima wawe na ujuzi, uwezo na hekima za kuongea mbele za Watu.
Sio unachagua mtu asiye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.