migogoro ya ardhi kigamboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Mwenyekiti wa Serikali ya Mitaa Vijibweni Kigamboni anauza kiholela hifadhi ya barabara na kusababisha migogoro ya ardhi

    Eneo la Vijibweni kumeongezeka migogoro ya ardhi kwa kuwa mwenyekiti wa Serikali anauza maeneo ya hifadhi ya barabara akishirikiana na kikundi cha wajanja. Na kumekuwa na malalamiko mengi juu ya huyo Mwenyekiti wa Serikali ya Mitaa na kila anapofuatwa yeye hukimbia ofisi na kutokomea mara kwa...
  2. A

    KERO Wizara ya Ardhi tatueni huu mgogoro unaozuia wananchi kupata hati ya viwanja vya mradi wa Tundwi Songani uliotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni

    Tulionunua viwanja vya mradi wa serikali vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni eneo la Tundwi Songani tunaomba kujua hatma yetu ya kupewa hati kwasababu wananchi tulionunua hivyo viwanja tumezuiwa kupewa hati zetu kutokana na mgogoro uliopo baina ya Wizara ya Ardhi na mhusika wa eneo...
Back
Top Bottom