Eneo la Vijibweni kumeongezeka migogoro ya ardhi kwa kuwa mwenyekiti wa Serikali anauza maeneo ya hifadhi ya barabara akishirikiana na kikundi cha wajanja.
Na kumekuwa na malalamiko mengi juu ya huyo Mwenyekiti wa Serikali ya Mitaa na kila anapofuatwa yeye hukimbia ofisi na kutokomea mara kwa...
Anonymous
Thread
hifadhi ya barabara
migogoroyaardhikigambonimigogoroyaardhi vijibweni
Tulionunua viwanja vya mradi wa serikali vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni eneo la Tundwi Songani tunaomba kujua hatma yetu ya kupewa hati kwasababu wananchi tulionunua hivyo viwanja tumezuiwa kupewa hati zetu kutokana na mgogoro uliopo baina ya Wizara ya Ardhi na mhusika wa eneo...
Anonymous
Thread
migogoroyaardhikigambonimigogoroyaardhi tundwi songani
mradi wa viwanja tundwi songani
wizara yaardhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.