migogoro ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

    Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake. Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla...
  2. kwisha

    Nataka kuachana na mke wangu ambaye nimeishi naye miaka 2

    Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu kuhusu hali ya ndoa yangu, na kwa huzuni kubwa nataka kueleza uamuzi wangu wa kutaka tuacha na mke wangu Nimefikia hatua hii kwa sababu zifuatazo: Kuhusiana na unyumba: Nimegundua kwamba mke wangu anatumia unyumba kama silaha ya kunikomoa pale ninapokuwa...
  3. IsaacMG

    Nipeni ushauri maana nataka kuivunja hii ndoa

    Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex, Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,? Naombeni majibu wakongwe.
  4. Magical power

    Kuna mume wa mtu,nataka nimzalie lakini nahisi mbegu zake zina shida ni kama maji nifanye nini?

    Kaka naomba unisaidie nifanye nini, ni binti wa miaka 30, nimeolewa ndoa yangu ina mwaka sasa. Kuna mwanaume mwingine niko naye, ni mume wa mtu ila ndiyo mwanaume wangu na nampenda sana hakuna namna naweza kumuacha, nilikua naye kabla ya ndoa na niliolewa tu kwakua nyumbani walikua wananipigia...
  5. Waufukweni

    Kilimanjaro: Wanawake wenye kipato kizuri chanzo cha Migogoro ya Ndoa, wanakosa heshima kwa wenza wao na kuwanyima tendo

    Wakuu Mmesikia kuwa Wanawake wenye kipato kizuri wamekuwa chanzo cha migogoro ya ndoa, kwani wanakosa heshima kwa wenza wao na hata kushindwa kushiriki tendo la ndoa. === Jukwaa la wanaharakati wa kupambana na ukatili wa kijinsia mkoani Kilimanjaro, limefichua siri kuwa migogoro mingi ya ndoa...
  6. Mkalukungone mwamba

    Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao

    Wivu wivu wivu wa mapenzi unazidi kutoa roho za watu wengi waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi jamani. ===================== Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Castory Abusalam Kindole mwenye umri wa miaka 48 mkazi wa Kijiji cha Idindilimunyo wilayani Wanging’ombe kwa tuhuma za...
  7. D

    Unamwacha kwa sababu hazai baada ya miezi kadhaa unasikia ana ujauzito!

    Wanajukwaa mko pouwa? Nimeamua kuleta hii mada kutokana na adha wanazopitia baadhi ya wanandoa au wachumba wanaofikia hatua ya kuachana kutokana na changamoto za uzazi unakuta kunakuwa na kushutumiana baina ya watu walio katika uchumba au ndoa inapotokea wamechelewa kupata mtoto bila kufanya...
  8. J

    Mke wangu ana mimba ya miezi miwil lakini kabadilika sana

    Hivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
  9. Librarian 105

    Vijana tulio kwenye ndoa tujifunze kusuluhisha ndoa zetu wenyewe

    Hakuna ndoa isiyo na mitihani na mikwaruzano. Kinachovunja ndoa nyingi ni mke au mume kuwa kispika cha kueleza changamoto za mwenzi wake kwa ndugu na jamaa bila kujali wakati sahihi wa kufanya hivyo. Akisahau hata huko anakokwenda kutafuta msaada nako huenda moto unawaka zaidi kuliko ndani ya...
  10. realMamy

    SoC04 Mfumo wa Mjue Mwenye Ndoa Kidijitali utasaidia kupunguza Migogoro ya Ndoa na Kesi za Mirathi

    Tanzania Mpya ndani ya Miaka Mitano hadi Ishirini na tano ijayo: Kupunguza migogoro ya Ndoa na Kesi za Mirathi. (Picha kutoka Mtandaoni) Miaka ya hivi Karibuni katika Mitandao ya kijamii kuliandikwa visa vingi sana vikihusisha baadhi ya wanawake waliokua ndani ya ndoa kushindwa kesi...
  11. Tajiri wa kusini

    Nimepigwa makofi na mke wangu kisa amekuta Meseji natongozwa na mwanamke

    Wakuu , hawa Wanawake kutoka kanda ya ziwa sio Poa kabisa aisee wanaweza kukuvunja miguu hivi hivi Kama mwanaume Ukiwa dhaifu aisee hatari Sana hawa Wanawake kutoka kanda Hii Jana nusura nivunjwe miguu na mke wangu baada kukuta Meseji kwenye simu yangu. Mke wangu nilimuomba msamaha kwa kumpigia...
  12. D

    Tamaduni zinasemaje kuhusu msaada kwa shemeji ambaye hajapata mtoto kupitia kwa mumewe

    Wanajukwaa mko pouwa. Leo hebu tubadilishane uzoefu.Kama tujuavyo kwamba Dunia ipo pamoja na mazuri yaliyomo ila changamoto zipo pia. Kuna hii changamoto ya kupata mtoto ,Unakuta mke kaolewa kwenye boma flani alafu linapokuja swala la kupata mtoto inakuwa changamoto. Je, inapotokea kwamba...
Back
Top Bottom