Kuishi pamoja, kupendana, kusikilizana, kusaidiana majukumu, kufarijiana, kukumbatiana, kubusiana, kupeana tendo la ndoa, kutokusalitiana, kumwamini mwenzako kuwa ni pacha wako, kushiriki ibada, unyenyekevu, uwazi katika mendeleo yenu, kuipa ndoa yenu kipaumbele, kuzaa watoto, kulea na...