Kwenye hili suala la usajili wa wachezaji, Simba wameingia mtego wa kifikra na kihisia ambao itakuwa vigumu sana kutoka.
Hakuna timu duniani ambayo wachezaji wote 20+ wa kikosi wana viwango sawa. NASEMA HAKUNA! Wale wa akiba siku zote, ni wa viwango vya chini kidogo. Iko hivyo duniani kote. Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.