1. Lazima kuwe na uwekezaji strong wa kutoka nje (FDI) na ndani of which mama kafanikiwa sana katika hili tofauti na mtangulizi wake
2. Demokrasia strong ambayo inawawezeah wawekezaji au wafanyafbiashara wakubwa kuwa huru na risks zote ambapo wakihisi mambo kutoenda sawa wana mahala pa...
Mara nyingi ili nchi iwe Tajiri inategemea na uthabiti na umahiti wa serikali iliyopo madarakani, rushwa ni adui wa haki na maendeleo. Tatizo lililopo kwa nchi nyingi zinazo endelea ni ubinafsi kwa viongozi wake na hii nitabia ya viongozi wengi wa ki Afrika, inaweza kuwa ndio tabia halisi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.