Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.
ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache...